Pages

Tuesday, March 15, 2016

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAJIPANGA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UTOAJI HAKI NCHINI.

 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Harrison Mwakyembe (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu namna Wizara ya Katiba na Sheria ilivyojipanga katika kutatua changamoto za utoaji haki nchini . Wengine katika picha ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva (wa pili kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Bw. Amon Mpanju (kulia).
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akizungumza  kwenye mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu namna alivyoishauri Wizara ya Katiba na Sheria  inavyoweza kutatua changamoto za utoaji haki nchini bila kuharibu kanuni zilizopo.

No comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates