Pages

Monday, March 14, 2016

MWAKYEMBE AKUTANA NA MWAKILISHI MKAZI WA UNICEF

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF) Bi. Maniza Zaman akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe alipomtembelea ofisini kwake mapema leo (14/3/2016) jijini Dar Es Salaam.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akisisitiza jambo wakati akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) Bi. Maniza Zaman alipomtembelea ofisini kwake leo (14/3/2016) jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates