Pages

Wednesday, March 16, 2016

WAZIRI MWAKYEMBE AKUTANA NA JAJI WARIOBA.

 Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akimsikiliza kwa makini Jaji Joseph Warioba alipomtembelea ofisini kwake leo (16/3/2016) kujadiliana kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya sheria ikiwemo uanzishwaji wa Mahakama maalum ya rushwa na ufisadi.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe (wa pili kulia)akiongea katika kikao na Waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya sheria kilichofanyika leo (16/3/2016) jijini Dar Es Salaam. Wengine pichani ni Jaji Joseph Sinde Warioba (wa pili kushoto)aliyewahi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Bw. Amon Mpanju.

No comments:

Post a Comment

 
 
Blogger Templates